Daraja la Akashi- Kaiyo lililopo Japan ndilo daraja refu na pana kuliko madaraja yote duniani yanayopita juu ya maji.Daraja hilo lina urefu wa mita 1,991 juu na lilijengwa kwa muda wa miaka 10, ambapo lilimalizika mwaka 1998.
Our website uses cookies to improve your experience. Learn more
حسنًا