Jeshi la polisi wilaya ya Bunda mkoani Mara kupitia dawati la jinsia kwa kushirikiana na idara ya ustawi wa jamii mkoa wa Mara imemfikisha mahakamani mzee mmoja mwenye umri wa miaka 54 Changwe Changige kwa kosa la kumuoa mtoto wa kike mwenye umri wa miaka minane.
TAFADHALI BOFYA HAPA U LIKE PAGE YETU TUKUTUMIE "HABARI" MOJA KWA MOJA KILA ZINAPOTOKEA
TAFADHALI BOFYA HAPA U LIKE PAGE YETU TUKUTUMIE "HABARI" MOJA KWA MOJA KILA ZINAPOTOKEA