DKT. NCHIMBI KUSHIRIKI MAZISHI YA ALIYEKUWA MWENYEKITI WA CCM MKOA WA TABORA


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi baada ya kutua Uwanja wa Ndege wa Tabora mapema leo Jumamosi Februari 24, 2024 asubuhi, akiwasili mkoani humo kushiriki mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Tabora na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Mzee Hassan Mohammed Wakasuvi, yanayotarajiwa kufanyika leo katika Kijiji cha Mabama, Wilaya ya Uyui, ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM, atawakilishwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments