MREMBO MAARUFU BONGO AZUA GUMZO KUTUMIA MILIONI 3 KWA SIKU

Mrembo maarufu kwenye mitandao ya kijamii (sosholaiti) nchini Tanzania, Poshy Queen.

**
Poshy Queen; ni mrembo maarufu kwenye mitandao ya kijamii (sosholaiti) nchini Tanzania ambaye naye ameibua gumzo kama lote.


Poshy Queen anasema kuwa, hajui data kamili maana kuna siku anaweza kutumia shilingi milioni 1, siku nyingine 2 au 3 na kama hana mishemishe yupo nyumbani tu, anaweza asitumie pesa yoyote.


Mbali na hayo, Poshy Queen anasisitiza kuwa, shepu yake ni mchanganyo wa Kinyakyusa na Kinyarwanda na wala siyo la mchongo.


Hata hivyo, kuna baadhi ya watu ambao wamesoma naye sekondari wanadai kwamba hakuna cha mchanganyo wala nini, goma ni la Uturuki maana zamani hakuwa hivyo.

Stori; Khadija Bakari, Dar

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments