HAWA NDIYO WABUNGE WA VITI MAALUM MKOA WA SHINYANGA KUPITIA UWT





Mheshimiwa Lucy Mayenga
Wanachama wa Umoja wa Wanawake CCM(UWT) mkoa wa Shinyanga waliojitokeza kugombea nafasi za ubunge  viti maalum kati ya kumi waliojitokeza kuwania nafasi hiyo,Mheshimiwa Lucy Mayenga ameibuka mshindi wa kwanza kwa kupata kura  353 akifuatiwa na mheshimiwa Aza Hilal aliyepata kura 342 kati ya kura 440 zilizopigwa.


Katika uchaguzi huo mgombea kupitia kundi la Wafanyakazi aliyejitokeza ni mmoja pekee ambaye ni Dkt Flora Masakilija,kundi la watu wenye ulemavu pia alijitokeza mmoja Rehema Joshua ambao wote walipata kura za ndiyo 331
Mheshimiwa Aza Hilal

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527