TAZAMA PICHA 10 ZA IKULU ZINAZOONGOZA DUNIANI KWA MATUMIZI MABAYA YA FEDHA

Kuna malalamiko mengi tumekuwa tukiyasikia kuhusu Ikulu za nchi kuhusishwa na ufujaji mkubwa ama matumizi mabaya ya fedha.
Hizi ni picha na orodha ya Ikulu tano zinazoongoza kwa matumizi makubwa zaidi ya fedha duniani.
New Turkish presidential palace in Ankara

No. 1- Jumba jipya la Ikulu ya Uturuki, liko katika jiji la Ankara na kwa sasa huenda likawa jumba kubwa zaidi kuliko Ikulu ya Marekani. Ujenzi wake umegharimu zaidi ya Dola Mil. 350.
Turkey's new Presidential Palace at night
Muonekano wa jumba jipya la Ikulu ya Uturuki wakati wa Usiku.
OLYMPUS DIGITAL CAMERA
No.2- White House, Ikulu ya Marekani. Ikulu hii iko Washington D.C, na imekuwa ikitumika kama Ikulu tangu mwaka 1800, Marekani ikiongozwa na rais John Adams.
White House Night
Muonekano wa White House wakati wa usiku.
Brazil Pres. Palace
No. 3- Planalto, Ikulu ya rais wa Brazil. Iko katika jiji la Brasilia. Imekuwa ikitumika kama Ikulu tangu mwaka 1960, wakati huo rais akiwa Oscar Niemeyer.

Brazil Night
Muonekano wa Planalto, Ikulu ya Brazil wakati wa usiku.
Grand_Kremlin_Palace-1
No. 4- Grand Kremlin, Ikulu ya Urusi iliyopo jijini Moscow. Imeanza kutumika kama Ikulu tangu mwaka 1849.
Moscow Night
Muonekano wa Grand Kremlin, Ikulu ya Urusi wakati wa usiku.
Taipei Pres Palace
No. 5- Jumba la Ikulu ya Taipei, Taiwan. Imekuwa ikitumika kama Ikulu tangu mwaka 1950.
Taiwan Usiku
Muonekano wa Jumba la Ikulu ya Taipei, Taiwan wakati wa usiku.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527