tag:blogger.com,1999:blog-330087426373770002.post4761527659040202898..comments2024-03-28T14:45:22.374+03:00Comments on MALUNDE 1 BLOG: PAMBA SIMIYU KUNUNULIWA KWA SOKO HURIA....MFUMO WA USHIRIKA "HAPANA' Videohttp://www.blogger.com/profile/17260839227848220850noreply@blogger.comBlogger1125tag:blogger.com,1999:blog-330087426373770002.post-55657757370251428062022-05-23T18:32:49.685+03:002022-05-23T18:32:49.685+03:00Kama serikali haitojenga mtazamo wapamoja katika m...Kama serikali haitojenga mtazamo wapamoja katika masuala ya kimaendeleo tutazidi kuyumba. Ushirika ni mali ya wanachama na inasimamiwa na wanachama wanaochanguliwa kuwa viongozi. <br /><br />Unapousema ushirika unamsema mkulima ambaye ndiye mwanachama.<br /><br />Sasa usimamizi unautoa kwa mkulima unaupeleka kwa mnunuzi inabidi kutuonedha namna utakavyofanya udhibiti wa udanganyifu na unyonyaji kwa mkulima kwa miaka yote na unafuu wa gharama kwa njia hizo!<br /><br />Kumbuka kampuni ni watafuta faida zaidi hivyo lazima wadhibitiwe kikamilifu maana kwa mwaka huu wanaweza kujifanya wema ili kuuvunja nguvu ushirika kisha ukishakufa watakunjua makucha yao. Anonymousnoreply@blogger.com