Picha : MAZISHI YA MWANDISHI WA HABARI RICHARD MAKORE ALIYEFARIKI KWENYE AJALI YA BASI LA SHERATON YAFANYIKA SERENGETI


Mazishi ya Mwandishi wa Habari Mwandamizi, Richard Makore aliyekuwa Mhariri wa gazeti la Nipashe Kanda ya Ziwa yamefanyika nyumbani kwake Kijiji cha Remong'orori Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, Ijumaa Machi 10, 2023.


Makore aliyezaliwa mwaka 1978 alifariki Jumanne Machi 07, 2023 katika ajali ya basi la Sheraton iliyotokea katika eneo la Kasamwa mkoani Geita likitokea jijini Mwanza na kusababisha jumla ya vifo 10 na majeruhi kadhaa.


Mauti yalimkuta Makore akiwa safarini akielekea kwenye majukumu ya kikazi mkoani Geita.
Na George Binagi- GB Pazzo, BMG


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments