TBS YASHIRIKI TAMASHA LA VIPODOZI 2022 DAR ES SALAAM

Afisa Udhibiti Ubora (TBS) Bi. Hidaya Kabelege akitoa elimu kuhusu madhara ya vipodozi vyenye viambata sumu na usajili wa bidhaa na majengo ya chakula na vipodozi kwa wananchi waliotembelea banda la TBS lililopo katika tamasha la siku ya vipodozi 2022, lililofanyika katika viwanja vya Leaders Club, Kinondoni, Dar es Salaam mapema leo.

*****************

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeshiriki katika Tamasha la Siku ya Vipodozi 2022 katika Viwanja vya Leaders Club Jijini Dar es Salaam ambapo wananchi wameweza kutembelea kwenye banda la TBS na kupewa huduma.

TBS imetoa elimu kuhusu madhara ya vipodozi vyenye viambata sumu na usajili wa bidhaa na majengo ya chakula na vipodozi kwa wananchi ambao wameweza kutembelea kwenye Tamasha hilo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments