SIMBA SC YAENDELEZA KUTOA DOZI LIGI KUU, YAICHAPA NAMUNGO 1-0



NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM

KLABU ya Simba imeendelea kutoa dozi ndani ya ligi kuu baada ya kufanikiwa kuwanyuka Namungo Fc 1-0, mchezo uliopigwa kwenye dimba la Benjamini Mkapa Jijini Dar es Salaam.

Mechi hiyo ambayo Simba alionesha kandanda safi kupitia kwa mastaa wao walipata nafasi nyingi za kufunga lakini walifanikiwa kupata bao moja tu ambalo lilifungwa dakika za mwanzo kipindi cha kwanza.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments