SIMBA SC YAFANYA UMAFIA, TUKIO LA SIMBA DAY LAWEKA HISTORIA


*************************

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM

SIMBA DAY, wanamsimbazi leo ni kama ilikuwa siku yao mara baada ya kupokea burudani mbalimbali kutoka kwa wasani, viongozi wao pamoja na wachezaji wao ambao wamezesha mashabiki kumaliza siku ya leo wakiwa na furaha.

Kwanza kabisa mashabiki waliamuakuujaza uwanja wa Benjamini Mkapa ili kuweza kushuhudia burudani kadhaa zikitolewa kwenye uwanja huo.

Wasanii kibao wameweza kutoa burudani mbalimbali kama Zuchu, Tunda Man na wengine kibao ambao wametoa burudani ambayo mashabiki walizipokea kwa shangwe kwenye dimba hilo.

Nje ya burudani hizo kulikuwa na mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya St.George ya nchini Ethiopia na kuwafanya Simba Sc kutoka kifua mbele kwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0.

Wachezaji wapya ambao wametambulishwa leo hii wameonesha viwango ambavyo mashabiki walitarajia, wachezaji hao ni kama Nelson Okwa ambaye alifunga kwenye mchezo huo,

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments