Picha : MWILI WA WINNIE MANDELA UKIAGWA AFRIKA KUSINI

Taifa la Afrika Kusini linaendelea kuomboleza kifo cha Winnie Mandela aliyewahi kuwa mke wa Rais wa Kwanza Mweusi wa Taifa hilo Nelson Mandela.

Winnie alifariki April 2, 2018 nyumbani kwake jijini Johannesberg na jana April 11, 2018taifa hilo lilifanya shughuli ya kitaifa ya kuaga mwili wake, na atazikwa April 14, 2018.







Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527