RADI YAUA WANAFUNZI WATATU WA SHULE YA SEKONDARI HUKO SONGWE

Wanafunzi watatu wa shule ya secondari Ndyuda iliyopo katika Mji Mdogo wa Mlowo Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe wamefariki dunia kwa kupigwa na radi ya mvua iliyonyesha jioni hii. 


Dr. Janneth Makoye mganga mkuu wa hospitali ya wilaya ya Mbozi amethibitisha kuwa watoto hao wamefikishwa hospitali ya Vwawa wakiwa tayari wamefariki.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527