PICHA ZAIDI ZA NYALANDU ALIVYOJITAMBULISHA KWA LOWASSA MARA BAADA YA KUHAMIA CHADEMA

Aliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini (CCM), Lazaro Nyalandu jana alimtembelea Waziri Mkuu wa zamani na mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Edward Lowassa ofisini kwake Mikocheni jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kujitambulisha.

“Mzee wangu nimekuja kujitambulisha na kusema asante kutufungulia mlango,” alisema Nyalandu katika taarifa iliyotolewa na ofisi ya Lowassa jana jioni.



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527