AZAM FC YANASA KIFAA KUTOKA GHANA, YAMSAJILI BENARD ARTHUR


Klabu ya Azam FC, imeongeza nguvu katika safu yake ya ushambulizi baada ya kumsajili mshambuliaji Bernard Arthur kutoka nchini Ghana.

Arthur alikuwa mshambuliaji tegemeo wa Liberty Professional ya Ghana, timu iliyomkuza Michael Essien na kipa wa zamani wa Yanga, Yaw Berko.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527