Mtandao Huu Unakujali,Ni Wako!! Tunataka Tukutumie Habari zetu Zote Mara Tu Tunapozipandisha Mtandaoni.Kujiunga nasi Bonyeza Hapa Sasa Hivi ><<VITUKO>>,"MAPENZI",<<HABARI MSETO>>

Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Shinyanga Khamis Mgeja akiaga mwili wa marehemu jana Jumapili katika kijiji cha Sungamile kata ya Mwalugulu wilayani Kahama mkoani Shinyanga-picha na Mohab Dominic-Kahama
![]() |
| Sanduku lililobeba mwili wa marehemu kabla ya mazishi-picha na Mohab Dominic-Kahama |
![]() |
| Wa pili kutoka kushoto ni katibu wa CCM mkoa wa Shinyanga Maganga Sengerema akiwa na mwenyekiti wa CCM mkoa Khamis Mgeja(kulia kwake) wakiweka udongo kaburini-picha na Mohab Dominic-Kahama |
![]() |
| Mkuu wa wilaya ya Kahama Benson Mpesya akizungumza baada ya mazishi ambapo alisema serikali na kamati ya ulinzi imejipanga vizuri kufuatilia tukio hilo na kuomba wananchi kuwa wavumilivu kwani kifo cha Daudi ni pigo kubwa kwa jamii na familia na CCM kwa kupoteza kiongozi wao-picha na Mohab Dominic-Kahama BOFYA HAPA KUSOMA HABARI KUHUSU HABARI YA MAUAJI YA KATIBU HUYO WA CCM HUKO KAHAMA Mtandao Huu Unakujali,Ni Wako!! Tunataka Tukutumie Habari zetu Zote Mara Tu Tunapozipandisha Mtandaoni.Kujiunga nasi Bonyeza Hapa Sasa Hivi ><<VITUKO>>,"MAPENZI",<<HABARI MSETO>> |





Social Plugin