Katika pita pita zake leo kamera za Malunde1 blog zimenasa basi hili la chuo cha Kilimo MATI-TUMBI katika manispaa ya Tabora likiwa linakatiza katika kijiji cha Tumbi katika manispaa hiyo.Wenyeji wa eneo hilo wanasema kipindi wanafunzi wa Chuo hawapo chuoni(wamefunga) basi hilo hutumika kusafirisha wakazi wa eneo hilo kwenda maeneo mbalimbali
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin