HII HAPA IDADI YA WATOTO WALIOZALIWA SHINYANGA WAKATI WA MKESHA WA KRISMASI
Thursday, December 25, 2014
Kaimu mganga mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa Shinyanga Dkt Salum Mfaume.
Watoto 7 wamezaliwa katika hospitali ya mkoa wa Shinyanga wakati wa mkesha wa Krismasi.Dkt Mfaume amesema watoto hao wa kiume 4,wa kike 3, wamezaliwa kati ya saa 6 usiku hadi saa 12 asubuhi na kwamba 6 wamezaliwa kwa njia ya kawaida na 1 kwa njia ya oparesheni na wote wakiwa na afya njema.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin