KUMBE KILICHODONDOKA NGARA NI SATELITE!

Hatimae hofu ya Mlipuko kwa wakazi wa wilaya ya Ngara imeondoka!
 Ni kufuatia Wataalamu wa miripuko kutoka Brigade ya Tabora TPDF wamebaini kuwa Kitu kilichodondoka katika ardhi ya Kijiji cha Ruganzo kata ya Kibimba wilayani humo siyo bomu bali ni Satelite. 
SIKU KILIPODONDOKA HOFU IKATANDA
Muonekano wa kitu kilichodhaniwa kuwa ni bomu

Kikiwa na alama ya Kuungua

ni kama kimeungua

Walio kishuhudia,inasemekana kilikuwa na utambu uliokuwa ukiwaka

Kimefunikwa kwa kamba za plastic ngumu

Ni vigumu kukitambua

kwa ndani kina umbo la pipa,kina mfuniko mfumu na Shafti kwa ndani
Wananchi wakifika eneo la tukio kukishuhudia

Kinavyoonekana kwa juu

sehemu ya kitu hicho iko ardhini na nyingine juu
SOURCE:Ngarakwetu blog
 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments