MSANII RICHARD MASELE ACHAGULIWA KUWA KATIBU WA SIASA,ITIKADI NA UENEZI CCM MKOA WA SHINYANGA


Msanii Richard Masele amechaguliwa kuwa Katibu wa itikadi,siasa na uenezi Chama Chama Mapinduzi mkoa wa Shinyanga.


Nafasi ya Msanii Richard Masele ilikuwa inashikiliwa na Emmanuel Stephen Mlimandago ambaye pia alikuwa miongoni mwa wagombea katika uchaguzi uliofanyika Disemba 5,2017.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527