Updates : FUATILIA HAPA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU KENYA 2017 - KENYA GENERAL ELECTIONS 2017 – RESULTS

Wakenya leo wamefanya uchaguzi mkuu kuchagua viongozi mbalimbali akiwemo rais atayeongoza nchi hiyo.Malunde1 blog inafuatilia kwa ukaribu matukio yanayoendelea nchini Kenya.Hivi sasa zoezi la kuhesabu kura linaendelea, Bofya hapa chini official link ya IEBC kufuatilia matokeo ya uchaguzi yanayotolewa na tume ya uchaguzi.



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527