Wakenya leo wamefanya uchaguzi mkuu kuchagua viongozi mbalimbali akiwemo rais atayeongoza nchi hiyo.Malunde1 blog inafuatilia kwa ukaribu matukio yanayoendelea nchini Kenya.Hivi sasa zoezi la kuhesabu kura linaendelea, Bofya hapa chini official link ya IEBC kufuatilia matokeo ya uchaguzi yanayotolewa na tume ya uchaguzi.