HIZI HAPA SHULE 10 ZILIZOFANYA VIBAYA ZAIDI MATOKEO YA KIDATO CHA SITA


Ni kilio na kicheko. Hivyo ndivyo tutakavyoweza kusema, kwani matokeo ya kidato cha sita, yaliyotangazwa leo Jumamosi, Julai 15 yamezitaja shule kumi zilizofanya vibaya na kushika mkia kitaifa.

Shule hizo ni Kiembesamaki Unguja, Hagafilo (Njombe), Chasasa (Pemba), Mwenyeheri Anuarite (Dar es Salaam) na Ben Bella (Unguja).

Nyingine zilizotajwa kushika mkia ni Meta (Mbeya), Mlima Mbeya(Mbeya)


Nyingine ni Shule ya Sekondari ya Al-Ihsan Girls (Unguja na St Vicent(Tabora).

 
Poleni kwa usumbufu mliopata siku ya leo wa kuhangaika kutafuta Link sahihi inayoweza kukuonesha matokeo ya kidato cha sita 2017 yaliyotangazwa leo .Hii hapa chini ni link sahihi inayofungua matokeo hayo bila matatizo.Bonyeza link hii hapa chini.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527