Picha!! HUYU NDIYO MTOTO WA SOKWE ALIYEZALIWA KWA NJIA YA UPASUAJI


Professa David Cahill amezichukua Headline za Feb 23 baada ya kumzalisha Sokwe kwa mara ya kwanza kwa njia ya upasuaji, Sokwe huyo ambaye alihitaji msaada wa kupumua , ndipo alipofanyiwa upasuaji katika hali isiyo ya kawaida.


mpaka sasa Mtoto wa Sokwe anaendelea vizuri baada ya kuzaliwa kupitia upasuaji katika hali isiyo ya kawaida, Sokwe huyo alizaliwa kwa njia ya upasuaji usio wa kawaida baada ya mama yake kuonyesha ishara ya ugonjwa hatari wa shindikizo la damu, Kumekuwa na sokwe wachache waliofanyiwa upasuaji wakati wa kujifungua duniani.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527